Mama Samia Awaka Matumizi Ya Vumbi La Kongo
Mama Samia Awaka Matumizi Ya Vumbi La Kongo
The President of the United Republic of Tanzania Samia Suluhu Hassan participated in the signing ceremony of the Agreement on the Management of Nutrition Activities today September 30, 2022 in Dodoma.
RELATED: Kwa Mara Ya Kwanza Paula Kajala Amuita Harmonize Baba.
Amewataka vijana kula mlo kamili ili kusaidia uzalishaji mzuri ndani ya jamii na sio kunywa supu ya pweza pekee kama vijana wanavyodhani.
“Why is it that when our children come to increase the community they are worried, once Pweza soup,
“Kwanini watoto wetu wakifika wakati wa kuongeza jamii wanahangaika, mara supu ya Pweza, tuna tatizo na mnalijua mnalificha watafiti fanyeni utafiti na tatizo hili kwa sababu halisemwi ni siri linaumiza zaidi vijana wetu na hata wanatumia udongo wa Congo lakini tatizo kubwa liko kwenye lishe” Alisema Rais Samia.
we have a problem and you know you hide it researchers do research on this problem because it is not told it is a secret that hurts our young people more and they even use Congolese soil but the biggest problem is in nutrition” He said President Samia.
